Mistari ya Biblia kuhusu Salamis: A city of Cyprus. Paul and Barnabas preach in.
Mistari kuhusu A city of Cyprus. Paul and Barnabas preach in.
Hivyo, wakiwa wametumwa na Roho Mtakatifu, wakashuka kwenda Seleukia na kutoka huko wakasafiri baharini mpaka kisiwa cha Kipro.
Walipowasili katika mji wa Salami, wakahubiri neno la Mungu katika sinagogi la Wayahudi. Pia walikuwa na Yohana Marko kuwa msaidizi wao.