Mistari ya Biblia kuhusu Rehum: 3. A Levite who repaired part of the wall of Jerusalem
Mistari kuhusu 3. A Levite who repaired part of the wall of Jerusalem
Baada yake, ukarabati ulifanywa na Walawi chini ya uongozi wa Rehumu mwana wa Bani. Aliyefuatia ni Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, aliyekarabati sehemu ya wilaya yake.