Mistari ya Biblia kuhusu Pharaoh: 4. Father-in-law of Mered
Mistari kuhusu 4. Father-in-law of Mered
Meredi alikuwa na mke mwingine Myahudi ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko na Yekuthieli baba wa Zanoa. Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa.