Mistari ya Biblia kuhusu Peor
Mistari muhimu ya Biblia
Balaki akamchukua Balaamu juu ya Mlima Peori, unaotazamana na nyika.
Balaamu akasema, “Nijengee hapa madhabahu saba, uandae mafahali saba na kondoo dume saba kwa ajili yangu.”
Balaki akafanya kama Balaamu alivyosema, kisha akatoa sadaka ya fahali mmoja na kondoo dume mmoja juu ya kila madhabahu.