Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Pelet

2 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Wana wa Yadai walikuwa: Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.

  2. Mkuu wao alikuwa Ahiezeri, na wa pili Yoashi, wote wana wa Shemaa Mgibeathi; pia Yezieli na Peleti wana wa Azmawethi; Beraka, Yehu Mwanathothi,