Mistari ya Biblia kuhusu Pelatiah: 2. A Simeonite who was captain in an expedition against the Amalekites
Mistari kuhusu 2. A Simeonite who was captain in an expedition against the Amalekites
Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri.
Wakawaua Waamaleki waliobaki, waliokuwa wamenusurika, nao wanaishi huko hadi leo.