Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Pekah: Conspires against and assassinates King Pekahiah

1 mstari · 6 vipengele

Mistari kuhusu Conspires against and assassinates King Pekahiah

  1. Mmoja wa maafisa wake wakuu, Peka mwana wa Remalia, akafanya shauri baya dhidi yake. Akachukua watu hamsini wa Gileadi pamoja naye, akamuua Pekahia, pamoja na Argobu na Aria, katika ngome ya jumba la kifalme huko Samaria. Kwa hiyo Peka akamuua Pekahia, naye akaingia mahali pake kuwa mfalme.