Mistari ya Biblia kuhusu Obed-Edom: 3. A conservator of the vessels of the temple in time of Amaziah
Mistari kuhusu 3. A conservator of the vessels of the temple in time of Amaziah
Akachukua dhahabu yote, fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika Hekalu la Mungu, ambavyo vilikuwa chini ya uangalizi wa Obed-Edomu, pamoja na hazina za jumba la mfalme na mateka, kisha akarudi Samaria.