Mistari ya Biblia kuhusu Obadiah: 9. A Levite. One of the overseers in the repairing of the temple by Josiah
Mistari kuhusu 9. A Levite. One of the overseers in the repairing of the temple by Josiah
Watu wakafanya kazi kwa uaminifu. Waliokuwa wamewekwa juu yao ili kuwaelekeza ni Yahathi na Obadia, Walawi wa uzao wa Merari, Zekaria na Meshulamu, waliotoka kwenye uzao wa Kohathi. Walawi wote waliokuwa na ufundi wa kupiga ala za uimbaji,