Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Nob: Abode of Ahimelech, the priest

2 mistari · 7 vipengele

Mistari kuhusu Abode of Ahimelech, the priest

  1. Daudi akaenda Nobu, kwa Ahimeleki kuhani. Ahimeleki akatetemeka alipokutana naye, akamuuliza, “Kwa nini uko peke yako? Kwa nini hukufuatana na mtu yeyote?”

  2. Kisha mfalme akatuma watu wamwite kuhani Ahimeleki mwana wa Ahitubu, na jamaa yote ya baba yake, waliokuwa makuhani huko Nobu, nao wote wakaja kwa mfalme.