Mistari ya Biblia kuhusu Nethaneel: 2. A priest who blew the trumpet before the ark
Mistari kuhusu 2. A priest who blew the trumpet before the ark
Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya na Eliezeri, makuhani, walikuwa wapiga tarumbeta mbele ya Sanduku la Mungu. Obed-Edomu na Yehiya waliwekwa pia kuwa mabawabu wa Sanduku.