Mistari ya Biblia kuhusu Mushi
Mistari muhimu ya Biblia
Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Lawi kufuatana na orodha zao.
Wana wa Merari walikuwa: Mahli na Mushi. Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:
mwana wa Mahli, mwana wa Mushi, mwana wa Merari, mwana wa Lawi.