Mistari ya Biblia kuhusu Murrain: A plague of Egypt.
Mistari kuhusu A plague of Egypt.
mkono wa Bwana utaleta pigo baya kwa mifugo yako, juu ya farasi wako, punda, ngamia, ngʼombe wako, kondoo na mbuzi.
Siku iliyofuata Bwana akalitenda: Mifugo yote ya Wamisri ikafa, lakini hakuna hata mnyama mmoja wa wana wa Israeli aliyekufa.
Aliitengenezea njia hasira yake, hakuwaepusha na kifo, bali aliwaachia tauni.