Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Meshelemiah

4 mistari · 1 kipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.

  2. Hii ndiyo migawanyo ya mabawabu: Kutoka kwa wana wa Kora alikuwa: Meshelemia mwana wa Kore, mmoja wa wana wa Asafu.

  3. Meshelemia alikuwa na wana wafuatao: Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne,

  4. Meshelemia alikuwa na wana na jamaa zake, waliokuwa watu wenye uwezo: jumla yao watu kumi na wanane.