Mistari ya Biblia kuhusu Mercurius (Mercury): Paul called Mercurius in Lycaonia.
Mistari kuhusu Paul called Mercurius in Lycaonia.
Ule umati wa watu ulipoona yaliyokuwa yamefanywa na Paulo, wakapiga kelele kwa lugha yao ya Kilikaonia wakasema, “Miungu imetushukia katika umbo la binadamu!”
Wakamwita Barnaba Zeu na Paulo wakamwita Herme kwa kuwa ndiye alikuwa msemaji mkuu.