Mistari ya Biblia kuhusu Machir: 2. A man of Lo-Debar who took care of Jonathan's lame son, Mephibosheth
Mistari kuhusu 2. A man of Lo-Debar who took care of Jonathan's lame son, Mephibosheth
Mfalme akauliza, “Yuko wapi?” Siba akajibu, “Yuko nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli huko Lo-Debari.”
Basi Mfalme Daudi akamtaka aletwe kutoka Lo-Debari, kutoka nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli.