Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Lo-Debar: Home of Mephibosheth, the lame son of Jonathan

3 mistari · 2 vipengele

Mistari kuhusu Home of Mephibosheth, the lame son of Jonathan

  1. Mfalme akauliza, “Je, hakuna yeyote ambaye amebaki wa nyumba ya Sauli ninayeweza kumwonyesha wema wa Mungu?” Siba akamjibu mfalme, “Bado yupo mwana wa Yonathani, yeye ni kiwete miguu yote.”

  2. Mfalme akauliza, “Yuko wapi?” Siba akajibu, “Yuko nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli huko Lo-Debari.”

  3. Basi Mfalme Daudi akamtaka aletwe kutoka Lo-Debari, kutoka nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli.