Mistari ya Biblia kuhusu Justification Before God: Blessedness of
Mistari kuhusu Blessedness of
Daudi pia alisema vivyo hivyo aliponena juu ya baraka za mtu ambaye Mungu humhesabia haki pasipo matendo:
“Wamebarikiwa wale ambao wamesamehewa makosa yao, ambao dhambi zao zimefunikwa.
Heri mtu yule Bwana hamhesabii dhambi zake.”