Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Heresy: Disavowed by Paul

4 mistari · 5 vipengele

Mistari kuhusu Disavowed by Paul

  1. Wala hawawezi kabisa kukuthibitishia mashtaka haya wanayonishtaki kwayo.

  2. Lakini, ninakubali kwamba mimi namwabudu Mungu wa baba zetu, mfuasi wa Njia, ile ambayo wao wanaiita dhehebu. Ninaamini kila kitu kinachokubaliana na Sheria na kile kilichoandikwa katika Manabii,

  3. nami ninalo tumaini kwa Mungu, ambalo hata wao wenyewe wanalikubali kwamba kutakuwa na ufufuo wa wafu, kwa wenye haki na wasio na haki.

  4. Kwa hiyo ninajitahidi siku zote kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu na mbele za wanadamu.