Mistari ya Biblia kuhusu Galeed
Mistari muhimu ya Biblia
Labani akaliita Yegar-Sahadutha na Yakobo akaliita Galeedi.
Labani akasema, “Lundo hili ni shahidi kati yako na mimi leo.” Ndiyo maana likaitwa Galeedi.
Labani akaliita Yegar-Sahadutha na Yakobo akaliita Galeedi.
Labani akasema, “Lundo hili ni shahidi kati yako na mimi leo.” Ndiyo maana likaitwa Galeedi.