Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Figurative Way: Jesus, the way

2 mistari · 5 vipengele

Mistari kuhusu Jesus, the way

  1. Yesu akawaambia, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia kwangu.

  2. Kwa njia hii, Roho Mtakatifu alikuwa anaonyesha kwamba, maadamu ile hema ya kwanza ilikuwa bado imesimama, njia ya kuingia Patakatifu pa Patakafifu ilikuwa bado haijafunguliwa.