Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Fig Tree: Jeremiah's parable of

2 mistari · 4 vipengele

Mistari kuhusu Jeremiah's parable of

  1. Kikapu kimoja kilikuwa na tini nzuri sana, kama zile za mavuno ya kwanza. Kikapu cha pili kilikuwa na tini dhaifu sana, mbovu mno zisizofaa kuliwa.

  2. Kisha Bwana akaniuliza, “Je, Yeremia, unaona nini?” Nikamjibu, “Ninaona tini zile zilizo nzuri ni nzuri sana, lakini zilizo dhaifu ni mbovu mno zisizofaa kuliwa.”