Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Creeping Things: A general term for animals

7 mistari · 4 vipengele

Mistari kuhusu A general term for animals

  1. “ ‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu.

  2. Lakini wako viumbe wenye mabawa ambao hutembea kwa miguu minne mtakaowala: wale wenye vifundo katika miguu yao ya kurukaruka juu ya ardhi.

  3. Miongoni mwa hawa, mtakula nzige wa aina zote, senene, parare au panzi.

  4. Lakini viumbe wengine wote wenye mabawa na wenye miguu minne ni machukizo kwenu.

  5. “ ‘Kuhusu wanyama watambaao juu ya ardhi, hawa ni najisi kwenu: kicheche, panya, aina yoyote ya mijusi mikubwa,

  6. guruguru, kenge, mijusi ya ukutani, goromoe na kinyonga.

  7. Hao wote watambaao juu ya ardhi ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.