Mistari ya Biblia kuhusu Creation: Second day, making the firmament or atmosphere, and separating the waters
Mistari kuhusu Second day, making the firmament or atmosphere, and separating the waters
Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya maji igawe maji na maji.”
Kwa hiyo Mungu akafanya nafasi, akatenganisha maji yaliyo chini ya hiyo nafasi na maji yaliyo juu yake. Ikawa hivyo.
Mungu akaiita hiyo nafasi “anga.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya pili.