Mistari ya Biblia kuhusu Chiding: Pharaoh chides Abraham, for calling his wife his sister
Mistari kuhusu Pharaoh chides Abraham, for calling his wife his sister
Ndipo Farao akamwita Abramu, akamuuliza, “Umenifanyia nini? Kwa nini hukuniambia ni mke wako?
Kwa nini ulisema, ‘Yeye ni dada yangu,’ hata nikamchukua kuwa mke wangu? Sasa basi, mke wako huyu hapa. Mchukue uende zako!”