Mistari ya Biblia kuhusu Beer-Sheba: 2. Well of, belonged to Abraham and Isaac
Mistari kuhusu 2. Well of, belonged to Abraham and Isaac
Ndipo Abrahamu akalalamika kwa Abimeleki kuhusu kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki walikuwa wamekinyangʼanya.
Lakini Abimeleki akasema, “Sijui ni nani ambaye amefanya hili. Hukuniambia, leo tu ndipo ninasikia habari zake.”