Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Baal-Hanan

4 mistari · 2 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

  2. Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.

  3. Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

  4. Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.