Mistari ya Biblia kuhusu Baal-Hanan
Mistari muhimu ya Biblia
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.
Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.
Baal-Hanani alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.