Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Ax

6 mistari · 4 vipengele

Mistari muhimu ya Biblia

  1. Hivyo Waisraeli wote huteremka kwa Wafilisti ili kunoa majembe ya plau, majembe ya mkono, mashoka na miundu.

  2. Bei ilikuwa fedha theluthi mbili za shekeli kunoa majembe ya plau na majembe ya mkono, na theluthi moja ya shekeli kwa nyuma, mashoka na michokoo.

  3. Mmoja wao alipokuwa anakata mti, shoka lilitumbukia kwenye maji. Akalia, “Ee bwana wangu, shoka lilikuwa la kuazima!”

  4. Mtu wa Mungu akauliza, “Je, liliangukia wapi?” Alipomwonyesha mahali penyewe, Elisha akakata kijiti na kukitupa mahali pale, nalo shoka likaelea.

  5. Walifanya kama watu wanaotumia mashoka kukata kichaka cha miti.

  6. Walivunjavunja milango yote iliyonakshiwa kwa mashoka na vishoka vyao.