Mistari ya Biblia kuhusu Assurance: David
Mistari kuhusu David
Unaniongoza kwa shauri lako, hatimaye utaniingiza katika utukufu.
Nani niliye naye mbinguni ila wewe? Dunia haina chochote ninachokitamani ila wewe.
Mwili na moyo wangu vyaweza kushindwa, bali Mungu ni nguvu ya moyo wangu na fungu langu milele.