Mistari ya Biblia kuhusu Arson: General references
Mistari kuhusu General references
Waliteketeza kabisa mahali pako patakatifu, wakayanajisi makao ya Jina lako.
Walisema mioyoni mwao, “Tutawaponda kabisa!” Walichoma kila mahali ambapo Mungu aliabudiwa katika nchi.