Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Ambassadors: Berodach to Hezekiah

2 mistari · 13 vipengele

Mistari kuhusu Berodach to Hezekiah

  1. Wakati huo Merodaki-Baladani, mwana wa Baladani mfalme wa Babeli, akamtumia Hezekia barua na zawadi, kwa sababu alikuwa amesikia habari za kuugua kwa Hezekia.

  2. Lakini wakati wajumbe walipotumwa na watawala wa Babeli kumuuliza juu ya ishara ambayo ilitokea katika nchi, Mungu alimwacha ili kumjaribu na kujua kila kitu kilichokuwa moyoni mwake.