Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Ahithophel: Probably referred to by David in Psalm 55,12-14

3 mistari · 4 vipengele

Mistari kuhusu Probably referred to by David in Psalm 55,12-14

  1. Kama aliyenitukana ni adui yangu, ningevumilia, kama mtu mwovu angejiinua dhidi yangu, ningejificha asinione.

  2. Kumbe ni wewe, mwenzangu, mshiriki na rafiki yangu wa karibu,

  3. ambaye awali tulifurahia ushirika mzuri, tulipokuwa tukienda na umati hekaluni mwa Mungu.