Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Abortion: General references

2 mistari · 3 vipengele

Mistari kuhusu General references

  1. “Ikiwa watu wawili wanapigana na wakamuumiza mwanamke mjamzito, naye akazaa kabla ya wakati lakini hakuna majeraha makubwa, mhalifu atatozwa mali kiasi cha madai ya mume wa yule mwanamke, na jinsi mahakama itakavyoamua.

  2. Lakini kukiwa na jeraha kubwa, ni lazima ulipe uhai kwa uhai,