Mistari ya Biblia kuhusu Abiel
Mistari muhimu ya Biblia
Kulikuwako Mbenyamini mmoja, mtu maarufu, ambaye aliitwa Kishi mwana wa Abieli, mwana wa Serori, mwana wa Bekorathi, mwana wa Afia wa Benyamini.
Babaye Sauli yaani, Kishi na Neri baba yake Abneri walikuwa wana wa Abieli.