Skip to content

Tema

3 verses

27.6300, 38.5500 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Tema

  1. Misafara ya Tema inatafuta maji, wafanyabiashara wa Sheba wanaosafiri hutazama kwa matarajio.

  2. leteni maji kwa wenye kiu, ninyi mnaoishi Tema, leteni chakula kwa ajili ya wakimbizi.

  3. Dedani, Tema, Buzi na wote walio maeneo ya mbali;