Skip to content

Gethsemane

2 verses

31.7700, 35.2300 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Gethsemane

  1. Kisha Yesu akaenda pamoja na wanafunzi wake mpaka kwenye bustani iitwayo Gethsemane, akawaambia, “Kaeni hapa, nami niende kule nikaombe.”

  2. Wakaenda mahali paitwapo Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa, nami niende nikaombe.”