Skip to content

Eloth

3 verses

29.5200, 35.0000 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Eloth

  1. Mfalme Solomoni pia akatengeneza pia meli huko Esion-Geberi, ambayo iko karibu na Elathi katika Edomu, kwenye ukingo wa Bahari ya Shamu.

  2. Ndipo Solomoni akaenda Esion-Geberi na Elathi katika pwani ya Edomu.

  3. Ndiye alijenga upya Elathi kuirudisha kwa Yuda baada ya Amazia kulala pamoja na baba zake.