Skip to content

Beth-horon

4 verses

31.8700, 35.1200 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Beth-horon

  1. ukateremkia kuelekea magharibi hadi eneo la Wayafleti ukienea hadi eneo la Beth-Horoni ya Chini hadi Gezeri, ukiishia baharini.

  2. Kutoka hapo ulikatiza kwenye mteremko wa kusini mwa Luzu (yaani Betheli) na kushuka hadi Ataroth-Adari katika kilima kusini mwa Beth-Horoni ya Chini.

  3. Solomoni akaujenga tena Gezeri.) Akajenga Beth-Horoni ya Chini,

  4. Akajenga tena Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, miji yenye ngome, kuta, malango na makomeo.