Skip to content

Baalath

2 verses

31.9200, 35.0500 Tazama kwenye Ramani za Google

Mistari inayomtaja Baalath

  1. akajenga Baalathi na Tamari kwenye jangwa katika eneo la nchi yake,

  2. Solomoni pia akajenga Baalathi na miji yake yote ya kuhifadhia vitu, na miji kwa ajili ya magari yake na kwa ajili ya farasi wake, chochote alichotaka kujenga katika Yerusalemu, katika Lebanoni na katika nchi yote aliyotawala.