Rukia maudhui

Elpaal

3 mistari · 22 wanafamilia

Mistari inayomtaja Elpaal

  1. Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.

  2. Wana wa Elpaali walikuwa: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),

  3. Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.