Rukia maudhui

Chilion

3 mistari · 4 wanafamilia

Mistari inayomtaja Chilion

  1. Mtu huyu aliitwa Elimeleki, mkewe aliitwa Naomi, na hao wanawe wawili waliitwa Maloni na Kilioni. Walikuwa Waefrathi kutoka Bethlehemu ya Yuda. Wakaenda katika nchi ya Moabu, wakaishi huko.

  2. Maloni na Kilioni pia wakafa. Basi Naomi akabaki hana mume wala wanawe wawili.

  3. Kisha Boazi akawatangazia wazee na watu wote waliokuwepo, “Leo ninyi ni mashahidi kwamba mimi nimenunua kutoka kwa Naomi yote yaliyokuwa mali ya Elimeleki, Kilioni na Maloni.