Rukia maudhui
Zekaria 11:15-17

Kuwasili kwa Mchungaji Asiyefaa

Zekaria 11:15-17
15
Kisha Bwana akaniambia, “Vitwae tena vifaa vya mchungaji mpumbavu.
16
Kwa maana ninakwenda kumwinua mchungaji juu ya nchi ambaye hatamjali aliyepotea, wala kuwatafuta wale wachanga au kuwaponya waliojeruhiwa, wala kuwalisha wenye afya, lakini atakula nyama ya kondoo wanono na kuzirarua kwato zao.
17
“Ole wa mchungaji asiyefaa, anayeliacha kundi! Upanga na uupige mkono wake na jicho lake la kuume! Mkono wake na unyauke kabisa, jicho lake la kuume lipofuke kabisa!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options