Zum Inhalt springen
Zekaria 1:20-21

Zekaria 1:20-21

20
Kisha Bwana akanionyesha mafundi wanne.
21
Nikauliza, “Hawa wanakuja kufanya nini?” Akanijibu, “Hizi ndizo pembe zilizowatawanya Yuda ili asiwepo atakayeweza kuinua kichwa chake, lakini mafundi wamekuja kuzitia hofu na kuzitupa chini hizi pembe za mataifa ambayo yaliinua pembe zao dhidi ya nchi ya Yuda na kuwatawanya watu wake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options