Skip to content
Zekaria 1:18-21

Zekaria 1:18-21

18
Kisha nikatazama juu, na pale mbele yangu nikaona pembe nne!
19
Nikamuuliza yule malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Ni nini hivi?” Akanijibu, “Hizi ni zile pembe zilizowatawanya Yuda, Israeli na Yerusalemu.”
20
Kisha Bwana akanionyesha mafundi wanne.
21
Nikauliza, “Hawa wanakuja kufanya nini?” Akanijibu, “Hizi ndizo pembe zilizowatawanya Yuda ili asiwepo atakayeweza kuinua kichwa chake, lakini mafundi wamekuja kuzitia hofu na kuzitupa chini hizi pembe za mataifa ambayo yaliinua pembe zao dhidi ya nchi ya Yuda na kuwatawanya watu wake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options