18
Kisha nikatazama juu, na pale mbele yangu nikaona pembe nne!
19
Nikamuuliza yule malaika aliyekuwa akizungumza nami, “Ni nini hivi?” Akanijibu, “Hizi ni zile pembe zilizowatawanya Yuda, Israeli na Yerusalemu.”
20
Kisha Bwana akanionyesha mafundi wanne.