Skip to content
Wimbo 7:11-13

Wimbo 7:11-13

11
Njoo, mpenzi wangu, twende mashambani, twende tukalale huko vijijini.
12
Hebu na twende mapema katika mashamba ya mizabibu tuone kama mizabibu imechipua, kama maua yake yamefunguka, na kama mikomamanga imetoa maua: huko nitakupa penzi langu.
13
Mitunguja hutoa harufu zake nzuri, kwenye milango yetu kuna matunda mazuri, mapya na ya zamani, ambayo nimekuhifadhia wewe, mpenzi wangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options