Rukia maudhui
Warumi 6:1-4

Wafu kwa Dhambi, Hai Katika Kristo

Warumi 6:1-4
1
Tuseme nini basi? Je, tuendelee kutenda dhambi ili neema ipate kuongezeka?
2
La hasha! Sisi tulioifia dhambi, tutawezaje kuendelea kuishi tena katika dhambi?
3
Au hamjui ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake?
4
Kwa hiyo tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kwa utukufu wa Baba, vivyo hivyo sisi nasi pia tupate kuenenda katika upya wa uzima.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options