Rukia maudhui
Warumi 11:33-36

Sifa kwa Hekima ya Mungu

Warumi 11:33-36
33
Tazama jinsi kilivyo kina cha utajiri wa hekima na maarifa ya Mungu! Tazama jinsi ambavyo hukumu zake hazichunguziki, na ambavyo njia zake zisivyotafutikana!
34
“Ni nani aliyeyafahamu mawazo ya Bwana? Au ni nani ambaye amekuwa mshauri wake?”
35
“Au ni nani aliyempa chochote ili arudishiwe?”
36
Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake. Utukufu ni wake milele! Amen.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options