Rukia maudhui
Warumi 1:16-17

Sioni Aibu kwa Ajili ya Injili

Warumi 1:16-17
16
Mimi siionei haya Injili ya Kristo kwa maana ni uweza wa Mungu uletao wokovu kwa kila aaminiye, kwanza kwa Myahudi na kwa Myunani pia.
17
Kwa maana katika Injili haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa, haki ile iliyo kwa njia ya imani hadi imani. Kama ilivyoandikwa: “Mwenye haki ataishi kwa imani.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options