Rukia maudhui
Ufunuo 9:20-21

Wanadamu Wanakataa Kutubu

Ufunuo 9:20-21
20
Wanadamu waliosalia, ambao hawakuuawa katika mapigo hayo, bado walikataa kutubia kazi za mikono yao na hawakuacha kuabudu mashetani na sanamu za dhahabu, za fedha, za shaba, za mawe na za miti, ambazo haziwezi kuona, kusikia wala kutembea.
21
Wala hawakutubu na kuacha matendo yao ya uuaji, uchawi, uasherati wala wizi wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options